Chama Cha Wakulima (Alliance for Africa Farmers Party) kimetoa wito kwa Wagombea waliokosa nafasi za Ubunge na Udiwani katika vyama vingine vya siasa wajiunge na chama chao
Aidha, AAFP imemteua Seif Maalim Seif kuwa mgombea urais kwa Tanzania huku Rashid Rai ambaye ni Katibu Mkuu wa chama akiteuliwa kuwa mgombea mwenza
Pia, kimemteua Said Sudi Said kuwa mgombea urais Zanzibar
0 Comments